29th November, 2019
<style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 20.1px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style>
Seneta Wa Baringo Gideon Moi Ametoa Msaada Wa Shilingi Milioni 1 Kusaidia Wahanga Wa Mkasa Wa Maporomoko Ya Ardhi Huko Pokot Magharibi. Zaidi Ya Watu 43 Walipoteza Maisha Kwenye Mkasa Huo. Mbunge Wa Taita William Kamket Aliwasilisha Msaada Huo Kwa Niaba Ya Mwenyekiti Huyo Wa Kanu. Alizuru Vijiji Vya Parua, Tamkal Na Paro Ambapo Kuna Kambi Ya Walioponea Mkasa Huo.