26th November, 2019
Baada Ya Ngoja Ngoja Ngoja Ya Siku Nyingi Na Labda Kuumiza Matumbo Ya Baadhi Ya Watu Ripoti Ya Kamati Patanifu Ya Kitaifa Yaani Bbi Itawasilishwa Leo Kwa Rais Uhuru Kenyatta Na Kamati Hiyo Ambayo Inaongozwa Na Seneta Wa Garissa Yussuf Haji. Ripoti Hiyo Kwa Mujibu Wa Waandalizi Wake Inalenda Kuwaunganisha Wakenya Katika Maswala Kadhaa Ambayo Yaliwatenganisha.