25th November, 2019
Kwenye kesi ya mauaji ya mwandishi wa habari huko maeneo ya Siaya marehemu Erick Oloo, sasa imeratibiwa kwamba mashahidi watatu watawasilishwa mahakamani kuhusiana na kesi hiyo. Oloo alipatikana ameuawa ndani ya chumba cha afisa mmoja wa polisi wa kike, aliyeaminika kuwa na uhusiano wa kimapenzi naye.
Hayo na mengine mengi katika makala ya MBIU YA KTN.