25th November, 2019
Siku Mbili Kabla Ya Jopo La Upatanishi Bbi Kuwasilisha Ripoti Yake Kwa Rais Uhuru Kenyatta Na Aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga Na Hivyo Kuanzisha Rasmi Mchakato Wa Marekebisho Ya Katiba, Naibu Wa Rais William Ruto Sasa Amejitokeza Na Kuwataka Wakenya Waisubiri Ripoti Hiyo Kabla Ya Kutoa Uamuzi Ikiwa Wataiunga Mkono Au Kuipinga. Huku Hayo Yakijiri Wabunge Wanaomuunga Mkono Ruto Wameelezea Pingamizi Zao Kuhusu Pendekezo La Kutaka Kubadili Mfumo Wa Uongozi Nchini Huku Mbunge Wa Keiyo Kusini Daniel Rono Akimtaka Rais Uhuru Kenyatta Kuondoa Fikira Ya Kutaka Kubadili Katiba Ili Awe Waziri Mkuu.