×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Haki za binadamu Tanzania: Watetezi wa haki hizo ni kundi linalowindwa na watu wasiojulikana

19th November, 2019

Watetezi Wa Haki Za Binadamu Nchini Tanzania, Ni Kundi Linalowindwa Na Watu Wasiojulikana Na Kwa Kipindi Cha Kuanzia Mwaka 2015 Hadi Leo Wengi Wao Wamejeruhiwa, Kunyanyaswa, Kutishwa Na Kuuawa Kwa Mujibu Ripoti Za Kituo Cha Sheria Na Haki Za Binadamu Tanzania Katika Harakati Za Kulinda Ufanisi Na Utendaji Wa Kundi Hilo, Mtandao Wa Watetezi Wa Haki Za Binadamu Tanzania Na Chama Cha Msalaba Mwekundu, Wanatoa Mafunzo Ya Kuokoa Uhai Kwa Watetezi Hao Wa Haki Za Binadamu.

.
RELATED VIDEOS