×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siku ya Wanaume: Kuna tetesi kuwa wanawake wamewezeshwa sana

19th November, 2019

Kenya Inajiunga Na Mataifa Mengine Ulimwenguni Kwenye Maadhimisho Ya Siku Ya Wanaume Huku Takwimu Za Shirika La Kitaifa Kuhusu Takwimu Zikionyesha Kwamba Wanaume Ni Wachache Nchini Ikilinganishwa Na Wanake. Kwa Mujibu Wa Takwimu Hizo Zilizotolewa Mwezi Uliopita. Kati Ya Idadi Ya Wakenya 47.6 Milioni, 24 Milioni Ni Wanawake Huku Wanaume Wakiwa Milioni 23.6. Leo Hii Baadhi Ya Washikadau Wanakutana Jijini Nairobi Kuadhimisha Siku Hii Lengo Kuu Likiwa Ni Kujadili Masuala Ibuka Yanayokumba Wanaume Nchini. Mada Ya Mwaka Huu Ni 'Masculine Voices In Gender Inclusivity'

.
RELATED VIDEOS