19th November, 2019
Wakazi Wanahesabu Hasara Baada Ya Mto Voi Kuvunja Kingo Zake Kufuatia Mvua Kubwa Inayonyesha Kaunti Hiyo. Maji Hayo Yamesomba Mashamba, Nyumba Na Kutatiza Shughuli Za Timbo Kando Kando Ya Mto Voi. Wakaazi Hao Sasa Wanaomba Msaada Kutoka Kwa Serikali Na Mashirika.