×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mgogoro kati ya Garissa na Tana River wazua maandamano mjini Hola

18th November, 2019

Mamia Ya Wakazi Wa Kaunti Ya Tanariver Walifanya Maandamano Mjini Hola Jumamosi Iliyopita Wakiilalamikia Hatua Ya Serikali Kukosa Kumtia Mbaroni Gavana Wa Garissa Ali Korane, Naibu Wake Sawa Na Mbunge Wa Fafi Kwa Madai Ya Kuchochea Uhasama Baina Ya Jamii Zinaoshi Kwenye Mpaka Wa Kaunti Hizo Mbili. Wakibeba Mabango Na Kuimba Nyimbo Za Kutaka Haki Wakazi Hao Walifululiza Hadi Hola Mjini Kutoka Uwanja Wa Bayusuf Na Kuelekea Kwenye Afisi Za Kamishna Wa Kaunti, Na Gavana Wakisistiza Kutiwa Mbaroni Kwa Watatu Hao.

.
RELATED VIDEOS