14th November, 2019
Kilichaonza kama zoezi la ziada la somo la Sayansi katika shule ya sekondari ya wasichana ya St. Thomas iliyoko kaunti ya Kilifi sasa kimeanza kuvutia makini ya jeshi la taifa. Hii ni baada ya wanafunzi wanne wa kike kuvumbua kifaa cha kugundua vilipuzi vya kutegwa ardhini au gurunedi.