×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirikisho la raga nchini KRU likishirikiana na Damu Pevu lazindua mikakati ya kukuza raga nchini

12th November, 2019

Shirikisho la raga nchini kru likishirikiana na damu pevu hii leo limezindua mikakati ya kukuza raga nchini. Ushirikiano huo utaisaidia shirikisho hilo kupeleka raga katika shule za  msingi mbali mbali nchini huku dhamira ikiwa ni kueneza mchezo huo nchini. Akizungumza  katika hafla ya uzinduzi huo, mwenyekiti wa shirikikisho hili Oduor Gangla alisema kwamba hiyo ni hatua moja wanatumia kuwapata wachezaji ibuka nchini.

.
RELATED VIDEOS