12th November, 2019
Naibu Rais Dkt. William Ruto Amezisifia Serikali Za Kaunti Kwa Kujikaza Kupambana Na Tatizo La Malimbikizi. Akizungumza Katika Hafla Ya Baraza La Uchumi Na Makadirio La Serikali Mabali Mbali – Ibec Dkt, Ruto Alitoa Wito Kwa Serikali Kutilia Maananai Matakwa Ya Serikali Za Kaunti Haswa Katika Ugavi Wa Fedha. Mkao Huo Uliwaleta Pamoja Wawakilishi Kutoka Serikali Kuu Na Pia Za Kaunti Akiwemo Mwenyekiti Wa Baraza La Magavana, Gavana Wa Kakamega Wycliff Oparanya, Joseph Olelenku Wa Kajiado . Profesa Anyang Nyong’o Wa Kisumu, Wa Nyeri Mutahi Kahiga Na Stephen Sang Wa Kaunti Ya Nandi