12th November, 2019
Vijana Kutoka Mkoa Wa Pwani Wameombwa Kukoma Kufuata Ushauri Mbaya Kutoka Kwa Wanasiasa Wasio Na Nia Njema Ambao Wamewafanya Kuzua Vurugu Katika Maeneo Mblaimbli Kwa Faida Zao Binafsi. Katiika Kongamanao La Vijana Lililowaleta Pamoja Vija Na Kutoka Kaunti Za Pwani, Embu Na Tharaka Nithi Kamishana Wa Kaunti Ya Embu Galagalo Hiddi Aliwaongoza Viongozi Wengine Katika Kutoa Hamasa Kwa Vijana Wakome Kujihusisha Na Vikundi Haramu Kama Wakali Kwanza, Wajukuu Wa Nyanyana Vinginevyo. Aidha Viongozi Hao Wameulaumu Utovu Wa Usalama Kwa Kuwa Chanzo Cha Kuwafukuza Watalii Na Wawekezaji