11th November, 2019
Kwa Mwanadamu Yeyote Kwenda Haja Kubwa Ni Jambo La Kawaida Na Laweza Zuiwa Au Kudhibitiwa Iwapo Mtu Atataka Iwe Hivyo. Lakini Kwa Kijana Mmoja Anayesomea Shule Ya Msingi Ya Naivasha Deb Hali Ni Tofauti. Justine King'ori Mwenye Umri Wa Miaka Kumi Na Mmoja Ambaye Yuko Darasa La Tano Katika Shule Ya Msingi Ya Naivasha Deb hawezi kwenda haja kubwa kwa njia ya kawaida. Badala Yake Analazimika Kujifunga Mfuko Maalum Wa Kwenda Haja. Anaugua Ugonjwa Usiokuwa Wa Kawaida Unaofahamika Kama Hirchsprungs