×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

WANAWAKE NGANGARI: Wanawake wajitosa katika kazi ya umakanika, ni mradi wa kuwasaidia kina mama

9th November, 2019

Wakati Huu Ambapo Uchumi Unatajwa Kuwa Katika Hali Ya Kuzorota Nchini,  Baadhi Ya Akina Mama Wameungana Kuwatia Shime Wanawake Wenzao Wakumbatie Kazi Za Ufundi Ili Kuongeza Nafasi Zao Za Kujiajiri Na Kujiendeleza Kimaisha. Lofty Matambo Alikutana Na Kundi Hilo Mtaani Dagoreti Corner Hapa Jijini Nairobi Lililobuniwa Mwaka Wa 2015 Na Linalenga Kuwafikia Wanawake Milioni 5 Kufikia Mwaka Wa 2030.

.
RELATED VIDEOS