×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Majangili wavamia vijiji viwili Marsabit na kuuwa watu 12, maafisa wawili wa polisi miongoni mwao

6th November, 2019

Watu 12 miongoni mwao ikiwaa na maafisa wa polisi wawili na wanafunzi wameuawa mapema usiku wa kuamkia leo na mifugo 800 kuibiwa baada ya majangili wasiopungua 500 kuvamia vijiji viwili tafauti katika kaunti ya Marsabit.

.
RELATED VIDEOS