×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ushirika wa kina mama kaunti ya Lamu waanzisha mradi wa bodaboda kuepuka ufukara

5th November, 2019

Chama cha ushirika cha kina mama kaunti ya Lamu kimetumia mtaji wao wa shilingi milioni 10.7 kuanzisha mradi wa bodaboda ili kuwasaidia wanachama wake kujiimarisha kiuchumi na kuboresha hali yao ya maisha. Mradi huo ambao mlezi wake ni mwakilishi wa kina mama kaunti hiyo Kapteni Ruweidda Obbo unanuia kuwafaidi zaidi ya wanachama elfu 3 wa ushirika huo walio maeneo ya Lamu Mashariki na lamu Magharibi. Tayari pikipiki mpya 60 zimenunuliwa na kusambazwa kwenye maeneo hayo huku ikitarajiwa kuwa utakuwa na faida itakayowanufaisha kina mama.

.
RELATED VIDEOS