5th November, 2019
Wanafamilia Watano Na Mtoto Mmoja Wameaga Dunia Kwenye Ajali Ya Barabarani Kwenye Barabara Ya Nairobi Kulekea Nakuru. Ajali Hio Ilifanyika Katika Eneo La Mto Wa Malewa Baada Ya Gari Ndogo Iliyokuwa Imebeba Familia Hio Kupoteza Mwelekeo Na Kugongana Na Lori Ana Kwa Ana