WIZARA YA DINI -Viongozi wa dini kaunti ya Kiambu wanataka wizara ya dini kujumuishwa katika katiba
8th October, 2019
Makanisa ya kiinjilisti kaunti ya Kiambu wanataka mchakato wa marekebisho wa katiba unayoendelea kujumuisha wizara ya dini katika serikali ili kudhibiti utendakazi wa makanisa nchini.