.
23rd April, 2019
Radio ni kifaa cha mawasiliano tangu jadi na ijapo mambo yamebadilika kwa ujio wa teknolojia mpya,kunao ambao bado wamezikumbatia radio zao na zinapoharibika hawana budi kuzikarabati. Fredrick Otieno kutoka Voi amechukua nafasi hiyo kujitafutia posho kwa kuwa fundi wa radio tangu utotoni na anatupambia makala yetu ya bongo la biashara.