×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkufunzi wa Kenya 7s Paul Murunga ana imani na wachezaji

16th April, 2019

Mkufunzi wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba Paul Murunga amesema kwamba licha ya kutofikia malengo yake ya kutinga robo fainali ya kombe kuu kwenye mashindano ya msururu wa raga duniani mkondo wa singapore, ameridhishwa na matokeo ya timu hiyo kwani alifanya vyema singapore zaidi ya mkondo wa Hong Kong.

.
RELATED VIDEOS