.
10th April, 2019
Kifo cha Ivy Wangechi msichana aliyekuwa anasomea udaktari katika chuo kikuu cha Moi kiliibua maswali mengi haswa kwa namna ambayo anayedaiwa kumuua, Naphtali Kinuthia alivyoitekeleza, kwa njia ya shoka wengi wakitaka kujua ni nini kinachosababisha kijana huyo kumuua mwenzake.