×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakaaji wa Embakasi wafanya maandamano

27th March, 2019

Vurugu zilishuhudiwa mapema leo katika eneo la embakasi mashariki kufuatia maandamano ya wakazi waliokuwa wakilalamika kuhusu barabara mbovu na uhaba wa maji. Wakazi hao wenye hasira wanadai kukerwa na mwanakandarasi aliyepewa jukumu la kujenga barabara ya embakasi?simbavilla?kayole, anayesemekana kuharibu mabomba na mifereji ya maji, hivyo kuhitilafiana na mtiiriko na usambazaji wa maji. Na sasa wamempa mwanakandarasi huyo makataa ya siku moja akamilishe kazi yote.

.
RELATED VIDEOS