×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi kutoka katika Kaunti ya Wajir wamekashifu kuhamishwa kwa Waziri Amina Mohamed

16th March, 2019

Baadhi ya viongozi kutoka katika Kaunti ya Wajir wamekashifu kuhamishwa kwa Waziri Amina Mohamed kama waziri wa elimu na wadhifa wake  kukabidhiwa profesa george magoha.wakiongozwa na mbunge wa wajir east rashid kassim, viongozi hao wametaja mabadiliko ya hivi juzi yaliofanywa na rais uhuru kenyatta  katika baraza la mawaziri kama hujuma kwa jamii ya kuhama hama na wametishia kuwashinikiza wabunge wenzao kutoidhinisha uteuzi wa magoha. Wanadai magoha hakuwajibika alipokuwa mwenyekiti wa baraza la kitaifa la mitihani nchini.

.
RELATED VIDEOS