×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakenya Simon Ngige na Justus Madoya wafuzu kwenye raundi ya tatu katika Kenya Open

16th March, 2019

Wakenya Simon Ngige na Justus Madoya walifuzu kwenye raundi ya tatu na ya mwisho ya mashindano ya gofu ya Kenya Open yanaoyoendelea uwanjani karen country club jijini Nairobi. Adri Arnau na gudo miliotsi walichukua usukani wakielekea kwenye raundi ya mwisho baada ya kumpiku Louis de Yager ambaye amekuwa akiongoza kutoka mashindano hayo yang'oe nanga siku ya Alhamisi. Arnau na Miliotsii kwa sasa wanashikilia nafasi ya kwanza kwenye jedwali la mashindano hayo wakiwa na alama 14.

.
RELATED VIDEOS