×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali imetoa zaidi ya Kshs. 12 Bilioni ya malipo ya wazee

12th March, 2019

Serikali imetoa zaidi ya bilioni 12 ya malipo ya wazee na makundi ya wasiojiweza katika jamii chini ya mradi wa "inua jamii". Zaidi ya watu elfu mia saba watapokea fedha hizo kutoka kwa serikali ambazo hazijalipwa kwa miezi sita. Serikali ilisitisha malipo kwa kipindi hicho ili kuwapa nafasi walengwa kujisajili kwenye mfumo mpya wa programu hiyo. Katibu wa kudumu katika wizara ya leba nelson marwa ameamuru benki kutoa malipo hayo kwa wanaolengwa pindi tu zitakapopokelewa. Marwa ameonya kuwa hatua kali itachukuliwa kwa benki zitakazo kaidi amri hii. 

.
RELATED VIDEOS