×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Timu ya taifa ya soka Harambee stars imepata ufadhili ya Kshs. 20 Milion kutoka Betin

12th March, 2019

Timu ya taifa ya soka Harambee stars imenufaika pakubwa baada ya kupata ufadhili wa shilingi milioni 20 kutoka kwa kampuni ya mchezo wa bahati nasibu ya Betin. Rais wa shirikisho la soka nchini Nick Mwendwa amesema kwamba pesa hizo  zitatumika katika maandalizi ya timu hiyo kwenye dimba la soka barani Afrika.

.
RELATED VIDEOS