26th February, 2019
Winga wa klabu cha Bandari Abdala Hassan ameteuliwa kama mchezaji bora wa ligi ya sportpesa mwezi wa Januari kwenye tuzo ya sjak. Abdalla, amepewa tuzo hiyo baada ya kuipatia bandari ushindi katika mechi tatu na kuwasaidia kupanda hadi nafasi ya kwanza kwenye jedwali la ligi.