×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 4 wamepoteza maisha yao kutokana na ajali katika barabara ya Kachibora

25th February, 2019

Watu 4 wamepoteza maisha yao kutokana na ajali ya barabarani iliohusisha gari la serikali na bodaboda barabara ya Kachibora inayoelekea Kitale sehemu ya Cherangany kaunti ya trans nzoia. Waliopoteza maisha yao ni mhudumu wa bodaboda na abiria 3 ambao ni mwanamke mmoja na watoto 2. Wakazi waliokua na hasira waliliteketeza kwa moto gari hilo kutoka idara ya ujasusi nchini nis wakilalamikia mauaji hayo. Dereva wa gari hilo alifaulu kukimbia, baada ya walioshuhudia kudai kuwa alikua akiliendesha kwa mwendo wa kasi.

.
RELATED VIDEOS