×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanakandanda Mashuhuri Joe Kadenge anaendelea kupata nafuu katika hospitali ya Nairobi

18th February, 2019

Mwanakandanda Mashuhuri Joe Kadenge anaendelea kupata nafuu katika hospitali ya Nairobi. Kadenge alipatwa na kiarusi baada ya kupata habari kuwa bintiye ameaga dunia jumatano iliyo pita. Gwiji huyo ameondolewa katika wodi ya wagonjwa maututi na kupelekwa katika wodi ya jumla anakoendelea kupata matibabu.  Kadenge anatarajiwa kuondoka hospitalini siku ya jumatano. Mwenda zake bintiye anazikwa leo nchini Amerika.

.
RELATED VIDEOS