×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais wa shirikisho la soka nchini Nick Mwendwa azungumuzia mechezo wa soka nchini

11th February, 2019

Rais wa shirikisho la soka nchini Nick Mwendwa amethibitisha kwamba Mkufunzi wa timu ya taifa ya soka Harambee Stars Sebastian Migne , bado hajapokea mshahara wa miezi mitatu,ila ameahidi kwamba kocha huyo atapata mshahara wake shirikisho likipokea hela kutoka katika hazina ya michezo  inatarajiwa kuanza mikakati ya kuachilia fedha hizo siku ya jumanne. Nick aliyazungumzia hayo na mengine mengi katika  mahojiano na mwanahabari wetu  robinson okenye, katika kipindi chetu cha michezo cha ktn scoreline siku ya jumapili.

.
RELATED VIDEOS