×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Makala ya pili ya mashindano ya chipukizi ya raising stars yalingóa nanga

11th February, 2019

Makala ya pili ya mashindano ya chipukizi ya raising stars yalingóa nanga hiyo jana katika shule ya upili ya hillcrest mjini nairobi. Kwenye kitengo cha vijana wasiozidi miaka 13, timu ya express soccer academy iliicharaza syokimau tatu bila jibu huku ligi ndogo ikiichabanga syokimau nne kavu. Katika kitengo cha walio chini ya miaka 9, express 1 waliwanyofoa ligi ndogo 1 saba kwa moja nao blue bombers wakaambulia sare tasa na consolata. Michuano hiyo inayoshirikisha timu 40 inachezwa kila siku ya jumapili kuwapa fursa wachezaji chipukizi kukuza talanta zao.

.
RELATED VIDEOS