×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kamati ya Afya Bungeni imetoa wito kwa washikadau wa afya nchini

11th February, 2019

Kamati ya Afya Bungeni imetoa wito kwa serikali ya kitaifa na serikali ya kaunti kuwapa sikio wauguzi wanaogoma kwa sababu maslahi yao pia na haki yao chini ya sheria. Wakizungumza wakati wanatathmini utendakazi, changamotna ufaafu ndani ya hospitali ya rufaa ya moi mjini eldoret mwenyekiti wao sabina chege alisema kwamba wauguzi vilevile ni wakenya na wana haki ya kupata nyongeza na marupurupu kama ilivyoidhinishwa kwenye mkataba wa CBA. 

.
RELATED VIDEOS