×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wenyeji wa Kitui wapata afueni baada ya kufunguliwa kwa shule Engamba uliokua imefungwa kufunguliwa

7th February, 2019

Wenyeji wa eneo la kitui mashariki wana kila sababu ya kutabasamu baada ya mbunge wao nimrod mbai kuanzisha harakati za kufungua shule ambayo ilifungwa miaka 27 iliyopita kutokana na utovu wa usalama uliosababishwa na wizi wa mifugo.Shule hiyo ya engamba inayopatikana mpaka wa kaunti ya kitui na tana river ilifungwa baada ya wafugaji kuivamia na kumuua mwalimu mkuu.wanafunzi kadhaa na wafanyakazi Wengine wa shule pia walijeruhiwa.tangu mwaka 1992, shule hiyo ambayo ilikuwa na wanafunzi 300 imesalia mahame.baada Ya kufungwa elimu iliathirika pakubwa kutokana na kukosekana kwa shule nyengine karibu.

 

.
RELATED VIDEOS