×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafuasi wa Awiti na Oyugi watoa maoni yao kutokana na maamuzi ya Mahaka ya Juu

7th February, 2019

Ahakama ya juu imeidhinisha ushindi wa gavana wa Homabay Cyprian Awiti katika uchaguzi mkuu uliopita.  Jaji wa mahakama ya juu zaidi Profesa Jackton Ojwang aliyesoma uamuzi huo amesema kuwa mahakama za chini zilipuuza vipengee muhimu katika kesi hiyo.  Kumekuwa na shangwe na Nderemo kutoka kwa wafuasi wa awiti baada ya uamuzi huo. Mahakama za chini kwa maaana ya mahakama kuu  na ile ya rufaa zilifutilia mbali ushindi wa awito zikisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa. Mshindani wa awiti katikaUchaguzi huo oyugi magwanga alipeleka kesi katika mahakama kuu akipinga ushindi wa Owiti uliotangazwa na tume huru ya uchaguzi mwaka uliopita. Magwanga aligombea ugavana katika tiketi huru naye awiti aligombea katika tiketi

Ya ODM

 

.
RELATED VIDEOS