7th February, 2019
Ahakama ya juu imeidhinisha ushindi wa gavana wa Homabay Cyprian Awiti katika uchaguzi mkuu uliopita. Jaji wa mahakama ya juu zaidi Profesa Jackton Ojwang aliyesoma uamuzi huo amesema kuwa mahakama za chini zilipuuza vipengee muhimu katika kesi hiyo. Kumekuwa na shangwe na Nderemo kutoka kwa wafuasi wa awiti baada ya uamuzi huo. Mahakama za chini kwa maaana ya mahakama kuu na ile ya rufaa zilifutilia mbali ushindi wa awito zikisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa. Mshindani wa awiti katikaUchaguzi huo oyugi magwanga alipeleka kesi katika mahakama kuu akipinga ushindi wa Owiti uliotangazwa na tume huru ya uchaguzi mwaka uliopita. Magwanga aligombea ugavana katika tiketi huru naye awiti aligombea katika tiketi
Ya ODM