×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Dr. Fred Matiangi ameongoza mkutano wa mawaziri wote serikalini

5th February, 2019

Waziri wa Usalama wa ndani Dr. Fred Matiangi leo ameongoza mkutano wa mawaziri wote serikalini katika kile kinachozingatiwa kuwa ni utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya serikali. Lakini wachambuzi wanasema kuwa majukumu anayotekeleza kwa sasa waziri matiang'i ni yale ya waziri mkuu cheo ambacho hata hivyo hakitambuliwi na katiba. Hii ni baada ya uteuzi wake uliofanywa kupitia amri ya kisheria na rais uhuru kenyatta, ziporah syokau na taarifa zaidi.

.
RELATED VIDEOS