×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkufunzi wa Kenya 7s Paul Murunga amelaumu ukosefu wa wachezaji wazoefu kama chanzo cha matokeo duni

5th February, 2019

Mkufunzi wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji 7 kila upande Paul Murunga amelaumu ukosefu wa wachezaji wazoefu kwenye kikosi kuwa chanzo cha matokeo duni kwenye michuano ya msururu wa raga wa Sydney. Kenya ilifungwa mechi zake zote tatu katika michuano hiyo.

.
RELATED VIDEOS