×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kamati ya Usalama katika eneo la kati nchini yaweka hatua za kudhibiti wizi wa Kahawa

31st January, 2019

Visa vya wizi wa kahawa katika eneo la kati ya taifa huenda vikawekwa katika kaburi la sahau iwapo hatua zilizowekwa na kamati ya usalama katika eneo hilo vitatiliwa maanani. Akizungumza kwenye kikao na wanahabari mjini nyeri, kamishna wa eneo la kati ya kenya wilfred nyagwanga amesema kuwa maafisa wa usalama watahusishwa katika usafirishaji wa zao hilo ili kupunguza visa vya wizi vinavyotokea barabarani. Aidha kamishna huyo aligusilia swala la usalama katika eneo hilo, huku akieleza kuwa zipo mipango maalum za kupambana na visa vya wakaazi kujiunga Na makundi haramu

.
RELATED VIDEOS