31st January, 2019
Muungano wa kutetea maslahi ya wahadhiri nchini uasu umeingilia kati mgogoro wa uongozi unaokikumba Chuo kikuu cha Nairobi…na kushutumu halmashauri ya usimamizi wa chuo hicho kwa kuonekana kupinga uteuzi wa maafisa wa ngazi ya juu uliofanywa na waziri wa elimu amina mohammed…wakati huohuo uteuzi wa Prof. James machoki kuongoza kituo cha mafunzo ya utabibu unaanza kuzua utata.