×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Askari wa KK katika ubalozi wa Marekani Nairobi wagoma

30th January, 2019

Askari gongo zaidi ya mia sita wa kampuni ya KK security wanaofanya kazi kwenye ubalozi wa Marekani hapa jijini Nairobi, wamegoma kulalamikia kile wanachodai unyanyasaji kutoka kwa mwajiri wao. 

Wanadai kutolipwa marupurupu yao kwa zaidi ya miaka saba, hata baada ya mahakama kuamuru kwamba wapewe marupurupu hayo ambayo ni malipo ya saa za ziada za kufanya kazi.

.
RELATED VIDEOS