30th January, 2019
Mzozo unanukia kati ya muungano wa wafanyi kazi wa uwanja wa ndege na usimamizi wa mamlaka ya viwanja vya ndege nchini kaa.
Hii ni kufuatia pendekezo la kampuni ya ndege ya Kenya Airways kuchukua usimamizi wa uwanja wa ndege wa wa kimataifa wa Jomo Kenyatta.