×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wapendekeza kutangazwa kwa saratani kuwa janga la taifa

30th January, 2019

Gavana wa kaunti ya Makueni Kivutha Kibwana ametoa wito kwa wabunge kubuni mswada utakaoisukuma serikali kutangaza saratani kuwa janga la taifa. 

Pendekezo la Kibwana lilipigwa jeki na mbunge wa kwanza Ferdinand Wanyonyi ambaye ameitaka serikali kutenga kiasi fulani cha pesa kwa matibabu ya saratani katika kaunti zote 47. 

Walikuwa wakizungumza katika kaunti ya Machakos.

.
RELATED VIDEOS