24th January, 2019
Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyakazi Francis Atwoli amesema kwamba ameridhishwa na jinsi ushauri wake unatumiwa kulainisha maswala ya uongozi na utawala katika taifa hili. Atwoli alizungumza kwenye shughuli ya kukijumuisha rasmi chama cha walimu knut ndani ya muungano wa COTU, shughuli iliyofanyika mapema leo katika afisi za COTU