×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jopo la 'handsheki' lakutana Isiolo

23rd January, 2019

Jopo kazi lilioundwa na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kuangalia jinsi ya kuleta uwiano wa kitaifa katika utawala na uongozi (building bridges initiative ), limetua mjini Isiolo kukusanya maoni ya wananchi. 

Washiriki kwenye mawasilisho hayo wanasisitiza usawa wa ugavi wa rasilmali na kuondoa ukiritimba wa uongozi wa taifa. Seneta wa kaunti ya Garissa Yusuff Haji aliliongoza jipo hilo.

.
RELATED VIDEOS