×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima wa mahindi katika kaunti ya Samburu walalamika

23rd January, 2019

Wakulima wa mahindi katika kaunti ya Samburu sasa wanalalamikia ukosefu wa soko kwa mazao yao. 

Wakulima hao wamelalama kwamba bei ya shilingi elfu moja mia tano kwa kila gunia la mahindi ni hasara kwao na kutaka serikali kuwakumbuka kwa kuwapa bei nzuri kupitia halmashauri ya nafaka na mazo, NCPB. 

Aidha wakulima hao wanasema kwamba serikali imeangazia sana eneo la bonde la ufa na kusahau maeneo mengine yanayopanda mahindi vile vile.

.
RELATED VIDEOS