×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakulima Naivasha waandama kulalamikia uharibifu wa wanyama pori kwa kuvamia na kuaribu mashamba zao

18th January, 2019

Kundi moja la wakulima huko Naivasha limetoa notisi ya siku kumi na nne kwa shirika la huduma za wanyama pori, KWS kushughulikia mgogoro kati yao na wanyama pori eneo hilo, la sivyo wachukue hatua mikononi. Wakulima hao katika kijiji cha mirera wanalalamikia wanyama pori wanaovamia mashamba yao na kuharibu mazao

.
RELATED VIDEOS