×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mzozo wa ardhi Kajiado ya kati wanawake wanalalamika baada maafisa wa kaunti kuwanyima haki

18th January, 2019

Mzozo wa ardhi umezuka katika soko la olomunyi huko kajiado ya kati, ambapo wanawake wanawalaumu baadhi ya maafisa wa serikali ya kaunti ya kajiado kwa kuwanyima haki ya kuendelea kulitumia soko hilo ambalo wamelitegemea kwa miaka mingi sasa. Hii ni baada ya wanawake hao kuandamana na kuwasilisha malalamiko yao kwa serikali ya kaunti, ambapo ahadi walizopewa wanadai hazijatimizwa. Licha ya masoroveya kutum,wa katika eneo hilo ili kutafuta suluhu, hali ingali ni ile ile.

 

 

.
RELATED VIDEOS