14th January, 2019
Walimu wakuu katika kaunti ya makueni wameunga mkono matumizi ya mfumo wa kuwasajili wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule za upili <style type="text/css">p.p1 {margin: 0.0px 0.0px 0.0px 0.0px; line-height: 17.0px; font: 15.0px 'Microsoft Sans Serif'} </style> NEMIS huku wakisema kuwa mfumo huo unazuia visa vya ufisadi. Mwalimu mkuu wa shule ya upili ya wavulana ya Matiliku Johnstone Ndivo amesema wakati huu ilikuwa rahisi sana kuwasajili wanafunzi shuleni huku wazazi wakitilia mkazo kwamba wametumia muda mfupi mno kupokelewa shuleni