Watu wapitao 52 wamelazwa kwenye hospitali ya Longisa baada ya kula nyama isyokuwa salama
11th January, 2019
Watu wapitao 52 wamelazwa kwenye hospitali ya Longisa baada ya kula nyama isyokuwa salama. wenyeji hao walishiriki chakula hicho kwenye mazishi katika kijiji cha tabook wadi ya mutarakwa kaunti ya Bomet.