×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirika la KENPHIA na serikali ya Kaunti ya Samburu wameanzisha mpango wa kuwapima wenyeji

11th January, 2019

Shirika la KENPHIA yaani kenya population based hiv impact assesment kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya samburu wameanzisha mpango wa kuwapima wenyeji kubaini iwapo wana virusi vya hiv, hepatitis b na kisonono. Naibu gavana julius lesseto amesema kuwa mpango utahakikisha kuwa idadi kubwa ya watu wamepimwa magonjwa hayo akitaja kuwa chini ya asilimia kumi ya watu na haswa kina mama waja wazito wamepimwa virusi vya hiv. Vipimo hivyo vitasaidia serikali ya kaunti kuweka takwimu za watu wanaougua maradhi hayo.

.
RELATED VIDEOS