.
3rd January, 2019
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya sukari ya Nzoia Michael Kulundu anauguza majeraha katika hospitali ya rufaa ya Moi mjini Eldoret baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana jumatano usiku. Kulundu anaidaiwa kutekwa nyara akiwa katika hoteli ya salmond iliyo katika barabara ya kanduyi kuelekea sikata, katika kaunti ya Bungoma.